Thursday, June 21, 2012

Maadhimisho ya siku ya wakimbizi duniani


Wakimbizi wa Katavi

Peraira Silima – Naibu Waziri wa Mambo ya ndani
Wakimibizi waliopo katika makazi ya Katavi wameshindwa kupewa uraia kutokana na kushindwa kushauriana vizuri katika suala zima la utoaji wa usajili ambao ungewapatia uraia wakimbizi hao waliofika  nchini katika kipindi cha miaka 40 iliyopita wakitokea Burundi.
 
Hayo yamesemwa katika maadhimisho ya siku ya wakimbizi duniani yaliyoaaandaliwa na shirika la kimataifa la kuhudumia wakimbizi Duniani UNHCR.

No comments:

Post a Comment