Baadhi ya Wanachama wa CCM |
Ofisi ya CCM Kata ya Sinza C |
Yusuph Selungwi, Mwenyekiti wa CCM Kata ya Sinza C |
Wanachama wa chama cha Mapindizi ccm katika kata ya Sinza C wameutaka uongozi wa chama hicho Wilayani KINONDONI kuwapa uhuru wa kumchagua Mwenyekiti wanayemtaka bila shinikizo
Wanachama
hao wamefikia uwamuzi huo kufuatia uwongozi wa chama hicho kuwataka
warudie uchaguzi wa kutafuta mwenyekiti wa kata hiyo. Wanachama hao wamesema suala la kumchagua mwenyeki wao
limeshafanyika na kwamba hawataki mtu mwingine kuwaingilia
Nae mwenyekiti aliechaguliwa na wanachama hao katika kata hiyo bw Yusuph Selungwi
ameonesha kushangazwa na hatua ya uongozi wa wilaya kutaka kurudia
uchaguzi huo
No comments:
Post a Comment