|
Agustino Nanyaro akiwapungia waliofika kumwaga katka viwanja vya chuo cha maofisa wa jeshi la magereza |
|
Nanyaro akiongea na waandishi wa habari |
|
Nanyaro akiwa katika gari maalum |
|
Askari magereza |
|
Askari magereza wakipiga gwaride |
Gwaride
maalumu lilitoa heshima kwa kamishna Generali wa Magereza Augustino Nanyaro
ambaye amestaafu kufanya kazi hiyo kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma jana katika viwanja vya chuo cha maofisa wa jeshi la magereza Ukonga.
Makamanda
wa Magereza walihitimisha utumishi wa Bw. Nanyaro kwa kusukuma gari maalumu
lililoandaliwa kwa shughuli hiyo mpaka nje ya geti.
Aidha bw. Nanyaro amesema nidhamu,
uadilifu na kufanyaji kazi kwa bidii ndio njia pekee ya kuliwezesha jeshi hilo
kufanya kazi zake kwa uadilifu mkubwa.
Nanyaro
amabye amelitumikia jeshi la Magereza kwa zaidi ya miaka 37 amestaafu wadhifa
huo huku akiwa amefanya mabadiliko kadhaa ikiwa ni pamoja na kulifanya jeshi
hilo kufanya kazi zake kisasa zaidi.
No comments:
Post a Comment