Monday, July 2, 2012

HALMASHAURI YA HANDENI YANUNUA TREKTA 6




Bw Muhingo Rweyemamu – Mkuu wa Wilaya Handeni



Halmashauri ya wilaya ya Handeni mkoani Tanga imenunua trekta 6 kwa ajili ya kukuza kilimo wilayani humo na kuongeza kasi ya utekelezaji wa mpango wa kilimo kwanza wilayani humo.

Naye mkuu wa wilaya ya Handeni Bw. Muhigo Rweyemamu amesema pamoja na kununua Trekta hizo Halmashauri pia iko tayari kutoa dhamana kwa wakulima walio tayari kukopeshwa zana za kisasa za kilimo.

Akiakabidhi matrekta hayo afisa masoko wa SUMA JKT Frida  Mramba amesema masharti walioyawekwa kwa mkopo wa wakulima ni nafuu.

No comments:

Post a Comment