Monday, July 2, 2012

TBL YAZINDUA NEMBO MPYA YA NDOVU

Edith Mushi, Meneja Uhusiano na Habari TBL




Pamela Kikuli, Meneja wa bia ya Ndovu Special Malt

Kampuni ya bia Tanzania imebadilisha muonekano wa bia yake aina ya Ndovu ikiwa ni mpango mkakati wa kampuni hiyo kuboresha bia yake.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam katika warsha ya uzinduzi huo meneja wa bia ya ndovu Pamela Kikuli amesema mabadiriko hayo ni katika muonekano huku kukiwa hakuna mabadiriko yoyote katika ladha ya bia hiyo.

Bi Kikuli amesema lengo la kufanya mabadiriko hayo ni kuitambulisha bia hiyo katika muonekano tofauti ili kuiboresha zaidi na kufikia viwango vya kimataifa.


No comments:

Post a Comment