Dr. Steven Ulimboka baada ya kutekwa na kupigwa |
Dr. Steven Ulimboka kabla ya kutekwa |
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania Dk Stephen Ulimboka amesafirishwa nje ya nchi
kwaajili ya matibabu zaidi kufuatia hali yake kuzidi kuwa
mbaya.
Dk Ulimboka
ambaye awali alilazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kitengo cha
Wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu ICU katika Taasisi ya Mifupa MOI
amesafirishwa jana kwenda nchi ambayo
wahusika wamekataa kuitaja japo inatajwa na magazeti na vyombo vingine vya
habari kuwa India na Afrika Kusini.
No comments:
Post a Comment