Hali ya upatikanaji wa huduma katika Hospitali
ya Taifa ya Muhimbili bado ni tete baada ya madaktari wanaotoa huduma
hospitalini hapo kuendelea na mgomo huku wagonjwa nao wakizidi kupungua.
Hali hiyo imezidi kuwa mbaya baada ya madaktari
kukaidi amri ya mahakama kuu kitengo cha kazi ya kuwataka warejee kazini
kufuatia kutekwa na kujeruhiwa kwa kiongozi wao Dr Steven Ulimboka nayo ikitajwa kuwa
ni sababu ya kuendelea kwa mgomo huo.
jameni huu mgomo nasisi tusio na kazi tumgomee nani? ama nasi tugome maana sisi ndio wengi kuliko wafanyakazi wangine acheni migomo ni mambo ya kipuuzi...kama serikali ya sasa haisikii iacheni muipige chini 2015
ReplyDelete