Spika Anne Makinda akifunga bunge baada ya kutangazwa kwa matokeo |
Wabunge wakisalimiana baada ya kikao |
Wabunge wakisalimiana baada ya kikao |
Bajeti ya serikali iliyokuwa ikijadiliwa bungeni wikii hii imepitishwa kwa kura 225 baada ya wabunge 297 kupiga kura. Wabunge 54 hawakuweza kupiga kura kwasababu walishindwa kuhudhuria kikao hicho.
No comments:
Post a Comment