Amos Nicolao, Afisa Umwagiliaji |
Mpunga |
Wadau mbalimbali wa kilimo wametakiwa kuwekeza katika sekta
ya kilimo cha umwagiliaji ili kumuwezesha mkulima kuondokana na kilimo cha
msimu na kuingia kwenye kilimo cha umwagiliaji ambacho ni cha kisasa na uhakika
wa kupata mazao mwaka mzima.
Ni asilimia 29 tu ya mpunga unaolimwa humwagiliwa ambapo
maeneo yaliyoendelezwa kwa miundombinu ya umwagiliaji uzalishaji wake
umeongezeka kulinganisha na maeneo yasiomwagiliwa.
No comments:
Post a Comment